Friday, December 20, 2013
SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Daktari dhamana Wilaya ya kusini (DMO) Daniel Francis Pius,(katikati) baada ya kukifungua
kituo cha Afya Kijiji cha Kajengwa Makunduchi, Wilaya ya Kusini Unguja jana,katika shamra shamra kuadhimisha Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Wasoma Utenzi Amina Makame Omar,na Marium Amour Haji,kutoka Shehia ya Kijini,walipokuwa wakitoa burudani hiyo kwa wananchi wakati wa ufunguaji Kituo cha Afya Kijiji cha Kajengwa,Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja jana,katika shamra shamra kuadhimisha Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Katibu wa Kamati ya maendeleo Shehia ya Kajengwa Makunduchi Nassor Simba,alipokuwa akisoma risala ya wananchi wa kijiji hicho wakati wa ufunguzi wa kituo cha Afya Kijiji cha Kajengwa,Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja jana,katika shamra shamra kuadhimisha Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Baadhi ya Wananchi wa Shehia ya Kijiji cha Kajengwa Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja,na Vijiji jirani wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza nao wakati wa ufunguzi wa Kituo cha Afya Kijiji hapo,katika shamra shamra kuadhimisha Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dk.Saleh Mohamed Jidawi,alipokuwa akitoa Taarifa na shukurani wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,baada ya kukifungua kituo cha Afya cha Shehia ya Kajengwa Makunduchi,Wilaya ya Kusini Unguja jana,katika shamra shamra kuadhimisha Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Wafanyakazi wa Kituo cha Afya Kajengwa Makunduchi,Wilaya ya Kusini Unguja,wakiwa sherehe za Ufunguzi wa Kituo hicho,katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,sherehe hizo zilifanyika jana,na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa mgeni rasmi
Juu na chini: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kajengwa Makunduchi,Wilaya ya Kusini Unguja,jana wakati wa sherehe za ufunguzi wa Kituo cha Afya,katika maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Sunday, September 22, 2013
Somali rebels kill 39, hold hostages in Nairobi
A woman (2ndL) who had been held hostage reacts following a security operation at an upmarket shopping mall, where suspected terrorists engaged Kenyan security forces in a drawn out gun fight on September 21 2013 in Nairboi.
Image from AFPTV shows a Kenyan woman coming out of an air vent where she was hiding during an attack by masked gunmen at a shopping mall in Nairobi on September 21, 2013 which left 39 people dead and 150 wounded
Image from AFPTV shows Kenyan security forces taking position inside a shopping mall following an attack by masked gunmen in Nairobi on September 21, 2013 which left 39 people dead and 150 wounded
He said he had "personally lost family members in the Westgate attack".Sunday, September 15, 2013
Robin van Persie and Wayne Rooney help Manchester United to win against C. Palace
Robin van Persie and Wayne Rooney fired Manchester United to a uninspiring 2-0 victory over 10-man Crystal Palace at Old Trafford.
Referee Jon Moss, who had waved away three previous penalty appeals and booked Ashley Young for diving, dismissed Kagisho Dikgacoi for bringing down the England man on the edge of the box in the 44th minute.
Van Persie stepped up to convert from the spot but it was not until the 81st minute that Rooney, who started the match sporting a headband to protect the gash which kept him out of England's World Cup qualifiers, curled home an excellent free-kick.
With former boss Sir Alex Ferguson looking on from the stands on the 50th anniversary of George Best's debut for the Red Devils, David Moyes' men could not hit the heights achieved by the two club legends despite having an extra man for the entire second half.
Deadline-day signing Marouane Fellaini started on the bench as United got back to winning ways following their defeat at Anfield and the home draw with Chelsea for Moyes' first Old Trafford triumph.
The tone was set in the opening moments, with United pressing forward and Palace defending deep, with Michael Carrick's powerful third-minute shot from outside the box after being fed by Rooney beaten away by Julian Speroni.
United had two penalty appeals inside the first 15 minutes, first when Patrice Evra tumbled under Mile Jedinak's challenge and the second as Young's attempted cross struck Danny Gabbidon, but on both occasions Moss waved play on.
The official did blow his whistle soon after as Young jinked into the box and went to ground after making contact with Dikgacoi, but it was to penalise the United winger for a dive for which he received a deserved yellow card.
For all their possession and territorial dominance, Moyes' men were struggling to create clear-cut opportunities against Palace's energetic and well-organised defence.
Then, in an instant, United demonstrated the quality they have in their ranks as Carrick's sublime turn and pass was followed by Rooney's incisive ball over the top to Van Persie, who controlled on his chest before smashing a volley against the crossbar.
Palace were within inches of snatching a shock lead as a searching cross-field ball was misjudged by Rio Ferdinand, with Dwight Gayle getting in behind the centre-back and while his dinked effort went beyond the previously unemployed David de Gea, it also drifted past the far post.
Just as Ian Holloway's side looked as though they would frustrate the hosts until half-time, they were dealt a double blow by a crucial decision from Moss as Young again tumbled to the turf under a challenge from Dikgacoi on the edge of the box.
Replays showed the initial contact was outside the area and that the United man was arguably looking for the impact from his opponent, but Moss pointed to the spot and dismissed the Palace midfielder, allowing Van Persie to send Speroni the wrong way from 12 yards.
Young had an early chance to double United's lead in the second half after being found by Anderson's precision through-ball, but his powerful shot was pushed away by Speroni before he gathered a deflected looping back-pass.
Van Persie smashed another chance high over the bar after Evra and Young linked well, before Moyes threw Fellaini into the action for his debut in the 62nd minute, with the former Everton man receiving a warm welcome from the Old Trafford fans.
And the home supporters were on their feet once again in the 67th minute as Fellaini chested down a looping clearance 25 yards from goal before firing in a shot which had Speroni scrambling across his goal to save, while Van Persie's whipped shot moments later was only inches over.
Any fears United had that they would be hit with a sucker-punch from the visitors were erased in the 81st minute when Rooney's curling free-kick went over the wall and beyond the diving Speroni.
Everton defeat Chelsea 1-0.
Chelsea's Andre Schurrle flicks the ball over Everton goalkeeper Tim Howard but wide of the goal
Steven Naismith beats Petr Cech to the ball to open the scoring
Tuesday, September 10, 2013
HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAJIDHATITI KUFANYA UPASUAJI WA MOYO.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Njelekela (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uboreshaji wa huduma za magonjwa ya moyo katika hospitali ya taifa muhimbili, kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Zamaradi Kawawa.
Mkuu wa Kitengo Cha Moyo toka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Robert Mvungi akieleza kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) sababu za tatizo la ugonjwa wa Moyo katika jamii.
Mkuu wa Kitengo Cha Moyo toka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Robert Mvungi akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mchoro unaoonesha matundu katika Moyo.
Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Agnes Kuhenga (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) juu ya gharama za matibabu katika kitengo cha magonjwa ya moyo katika hospitali ya Taifa Muhimbili, katikati ni Mkuu wa Kitengo hicho Dkt. Robert Mvungi na wa mwisho kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Njelekela.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Njelekela akiwaonesha waandishi wa habari moja ya chumba cha kupumzika wagonjwa mara baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo.
Mkuu wa Kitengo Cha Moyo toka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Robert Mvungi akiwaonesha waandishi wa habari mtambo wa Cath Lab unaosaidia kuangalia mishipa ya damu inayokwenda kwenye Moyo.Picha Zote na Eliphace Marwa (MAELEZO).
Kenyan Vice President Ruto on trial for crimes at international crime court.
Supporters of presidential candidate Raila Odinga run from Kenyan riot police in Nairobi, Kenya, December 29, 2007. Kenya Vice President William Ruto is on trial for crimes against humanity at the International Criminal Court, on charges of masterminding deadly post-election violence five years ago.
Kenya's Vice President William Ruto (L) speaks with broadcaster Joshua Arap Sang (R) at the International Criminal Court (ICC) in The Hague on September 10, 2013. Ruto is on trial for crimes against humanity, the most senior official ever judged by the under-fire tribunal.
Kenya's Vice President William Ruto (L) speaks with broadcaster Joshua Arap Sang (R) at the International Criminal Court (ICC) in The Hague on September 10, 2013. Ruto is on trial for crimes against humanity, the most senior official ever judged by the under-fire tribunal.
Electric cars dominate at Frankfurt auto show in German
Journalists view BMW's i3 electric car at the Frankfurt Motor Show (IAA) on September 9, 2013. It is BMW's first fully electric model and will have a driving range of 80-186 miles, going on sale in November
Sunday, September 8, 2013
Syria: The story of the conflict.
The unrest triggered nationwide protests demanding President Bashar al-Assad's resignation as shown in this video report from May 2011. By July 2011, hundreds of thousands were taking to the streets in towns and cities across the country.
One incident which caused international outcry was the killing of 108 people, including 49 children, near Houla, in May 2012. Witnesses said the victims were shot in their homes after the village was shelled in response to an anti-government demonstration. The government blamed "terrorists", but a UN inquiry said loyalist forces were likely responsible. Independent verification of such reports is very difficult.
World cup qualifier: Daniel Sturridge ruled out of Ukraine clash

A statement on the FA website read: "Club England medical staff have been in constant contact with their counterparts at Liverpool Football Club since he returned there on Thursday.
"His injury has not progressed as had been hoped and it is now clear that Sturridge will not be fit for the match in Kiev on Tuesday evening."

The Manchester United striker, controversially booked for diving in Montenegro in March, picked up his second yellow card of the campaign in Friday's 4-0 win over Moldova.
Welbeck scored either side of half-time, but he was also cautioned for time-wasting when he kicked the ball just after the whistle had gone for offside.
Manager Roy Hodgson was seething at the decision and means he will be without the United forward for a tricky visit to Kiev.
Saturday, September 7, 2013
DR.SHEIN AZINDUA MADARASA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA ZANZIBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,Dk.Haji Mwita,alipotembelea Dagfhalia ya Wanafuzi wa Chuo hicho kabla ya kuzindua madarasa ya Chuo hicho leo huko Mbweni nje ya Mji wa Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,Dk.Haji Mwita,alipotembelea kuona vifaa mbali mbali vya kufundishia chuoni hapo alipofika kuzindua madarasa ya kusomea yaliyojenga kwa ufadhili wa Serikali ya Oman kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa jengo la madarasa ya Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,lililogharamiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ushirikiano na Serikali ya Oman,huko Mbweni Nje ya Mji wa Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Mshauri wa Mambo ya Afya,Wizara ya Afya ya Oman,Dr.Sayeed Sultan Bin Yarub Bin Qaatan Al- Busaid,wakikata utepe kama ishara ya ya uzinduzi wa jengo la madarasa ya Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,lililogharamiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ushirikiano na Serikali ya Oman,huko Mbweni Nje ya Mji wa Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa ushauri wakati alipotembelea moja ya madarasa ya Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,huko mbweni baada ya kuyazindua rasmi leo,ambayo yamejengwa kwa ufadhili ya Serikali ya Oman kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa nasaha zake,baada ya kuyazindua rasmi madarasa ya chuo hicho leo ,hapo chuoni Mbweni,Mkoa wa Mjini Mgharabi Nje ya Mji wa Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea risala ya Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,kutoka kwa Mkuu wa Chuo hicho Dk. Haji Mwita,baada ya kuyazindua Rasmi madarasa ya Kusomea,yaliyojengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Oman,na ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Mshauri wa Mambo ya Afya,Wizara ya Afya ya Oman,Dr.Sayeed Sultan Bin Yarub Bin Qaatan Al- Busaid,akitoa salamu zake wakati wa sherehe za uzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,yaliyojengwa na Serikali ya Oman,na ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akitoa hutuba yake kwa Wananchi na wanafunzi (hawapo pichani) wakati wa Sherehe za Uzinduzi wa jengo la madarasa ya Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,lililogharamiwa na Serikali ya Oman kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,huko Mbweni Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo,(kushoto) Waziri wa Afya Juma Duni Haji,na Mshauri wa Mambo ya Afya,Wizara ya Afya ya Oman,Dr.Sayeed Sultan Bin Yarub Bin Qaatan Al- Busaid,(kulia).
Baadhi ya wananchi na viongozi walioalikwa katika sherehe za uzinduzi wa jengo la madarasa ya Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,lililogharamiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ushirikiano na Serikali ya Oman,huko Mbweni Nje ya Mji wa Unguja leo,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa nasaha zake.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
Tuesday, September 3, 2013
MADAKTARI WATENGANISHA WATOTO WALIOUNGANA MUHIMBILI

Jopo la madaktari wakimuangalia mtoto baada ya kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa na mwenzake.
Arsenal break transfer record to sign Mesut Ozil from Real Madrid

The 24-year-old German international is regarded as one of the finest talents in Europe and arrives in London after three successful seasons in the Spanish capital.
Ozil completed his medical on Monday in Germany, where he is with the national squad, and Arsenal say he has signed a long-term contract.
The fee for Ozil has not been disclosed but a figure of £42.4m is being reported.
"I am thrilled to be joining a club of the stature of Arsenal and am looking forward to playing in the Premier League."
Mesut Ozil
"It will be great for my own personal development as a player and I am particularly looking forward to working with (manager) Arsene Wenger.
"From our negotiations it is clear the club has huge ambition and I look forward to being part of an exciting future."
Wenger added: "We are extremely pleased to have signed Mesut Ozil.
"He is a great player, with proven quality at both club and international level. We have watched and admired him for some time, as he has all the attributes I look for in an Arsenal player.
"He is a great player, with proven quality at both club and international level. We have watched and admired him for some time, as he has all the attributes I look for in an Arsenal player
"I have said throughout the summer that we have been working hard to bring in top quality players to this football club.
"This has involved many, many people across the club and I have always had the full support of the club in making decisions on the football side.
"Mesut is a top quality footballer who will be a fantastic addition to our talented squad. We are all looking forward to him joining up with us after his international matches with Germany and working with us as an Arsenal player."
The Gunners have been criticised in the past for not spending heavily in the transfer market but they have now splashed out on a player with 47 Germany caps, who became available after Real completed the world record signing of Gareth Bale from Tottenham.
Arsenal chief executive Ivan Gazidis said: "This is an exciting day for all of us. We have signed a world-class player who is one of Europe's brightest young talents."Mr Kroenke, our controlling owner, has always fully supported Arsene and the club in making significant investments to strengthen our squad and to bring in talented players, who fit our style and ambitions.
"Like all of us, Mr Kroenke wants to see Arsenal winning titles and trophies and he has absolute faith and belief in our manager to achieve that. We will continue to work towards that goal and look forward to an exciting season
Subscribe to:
Posts (Atom)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)









