Pages

Thursday, July 19, 2012

Mzamiaji akiokoa maiti kutoka majini

Boti ya Flying horse ikikimbilia eneo la tukio.

Abiria walionusurika na ajli wakisubiri kuokolewa juu ya chombo kilichozama.


Hata vyombo vidogo vilishiriki katika uokoaji

Hata hivyo hali bahari haikuwa shuwari  wakati wa zoezi la uokoaji kama inavyoonekana boti ya KMKM.

Licha ya kuwa bahari imechafuka shughuli ya uokoaji ziliendele jana.

shughuli za uokoaji hadi wakati wa usiku.
KUZAMA KWA MELI ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment