Pages

Thursday, August 23, 2012

ANGALIA USAJILI WA ULAYA NA SEHEMU NYENGINE DUNIANI

ZOEZI LA SENSA YA WATU NA MAKAAZI TANZANIA LAPATA CHANGAMOTO


Na Idara ya Habari, Maelezo.

Taasisi mbalimbali za kidini hapa nchini zilizopata usajili rasmi kwa Mrajis Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar zimekanusha kuhusika na tamko lililotolewa na Amiri Mkuu wa Jumuiya ya Uamsho, Sheikh Mselem Ali la Waislamu wa Zanzibar wagomee kushiriki katika Sensa ya Watu na Makaazi Kitaifa inayotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo.

Wakizungumza na Katibu wa Mufti wa Zanzibar, Sheikh Fadhil Soraga Wawakilishi wa Taasisi hizo wamelaani tabia ya Uamsho ya kujipa Mamlaka ya kuzisemea Taasisi hizo. 
aka




 

Wednesday, August 22, 2012

RASHID MATUMLA AMALIZWA

MANENO OSWALD AMDUNDA RASHID MATUMLA KWA POINT

Bondia Maneno Oswald akitangazwa baada ya kumdunda Rashid Matumla.
Matumla akisulubiwa jukwaani wakati wa mpambano huo.

MASWALA YA UTAWALA BORA AFRIKA

RAIS WA LIBERIA AONYESHA UTAWALA BORA; AMSIMAMISHA KAZI MTOTO WAKE KWA KUSHINDWA KUTANGAZA MALI ANAZOMILIKI


Rais Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia (Pichani) ameonyesha kuwajibiba na kusimamisha kazi mmoja wa watoto wake katika wadhfa wa Naibu Gavana wa Benki Kuu nchini humo kwa kushindwa kutangaza mali zake.
Mwanae huyo Charles Sirleaf ni miongoni mwa maafisa 46 waliosimamishwa kazi kwa kushindwa kuweka wazi mali zao mbele ya maafisa wa tume dhidi ya rushwa.
Charles ni mmoja kati ya watoto wake watatu walioteuliwa kushika nyadhfa za juu baada ya rais huyo kushinda tena katika uchaguzi mwaka uliopita, ambapo wachambuzi wa mambo wamekuwa wakimtuhumu kwa endekeza undugu.
Rais Ellen Johnson Sirleaf alimteua motto wake mwingine Fumba kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa, mwingine Robert ameuliwa kuwa Mshauri Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya Mafuta inayomilikiwa na serikali National Oil Company of Liberia (NOCAL).

USAJILI WA MANCHESTER UNITED

HUYU NDIO ALEXANDER BUTTNER - BEKI MPYA WA KUSHOTO MRITHI WA EVRA

Klabu ya Manchester United leo imetangaza rasmi usajili wa mchezaji Alexander Buttner, kijana wa kidachi mwenye miaka 23 aliyekuwa akiichezea klabu ya Vitesse. Manchester United wameilipa Vitesse kiasi kichopungua £4million kwa ajili kupata saini ya kijana huyo ambaye amesaini mkataba wa miaka 5 kuwepo Theatre of Dreams.

Thursday, August 16, 2012

RONEY LAUGH FOR VAN PERSIE ARRIVAL.




Wayne Rooney: Would welcome the chance to partner Robin van Persie in attack



Wayne Rooney believes Arsenal forward Robin van Persie would be a great addition to the squad if he joins him at Manchester United.

United are the favourites to sign the Holland international after the 29-year-old stated his intention not to sign a new contract with the Gunners.
The prospect of last season's Premier League top scorer arriving at Old Trafford is already exciting supporters and Rooney echoes those sentiments.
"Of course he's a player that I admire," said Rooney.
"He's a fantastic player. He's been amazing for Arsenal over many years. Last season was probably his best season of all. He scored a lot of goals.
"If he does come here he would be a great addition to the squad."

Partnership

Sir Alex Ferguson also has Danny Welbeck, Javier 'Chicharito' Hernandez and Dimitar Berbatov as attacking options but it is the prospect of Rooney and Van Persie linking up that will concern their rivals.
Asked if he and the Dutchman could form a deadly partnership, Rooney added: "I'd like to think so - but you'd have to ask the manager about that.
"There's a lot of forwards here already with myself, Welbeck, Chicharito and Berbatov, who's still here.
"So there's a lot of forwards fighting for a place."

VAN PERSIE, WENGER HAS NO CHOICE.



Arsene Wenger: Says he had no choice


Arsenal boss Arsene Wenger insists he had no choice but to agree to sell Robin van Persie to Manchester United.

The Old Trafford giants confirmed on Wednesday evening that they had agreed terms with Arsenal - understood to be £24million - for the Dutchman.
Van Persie is now set to travel to the North West to undergo a medical and finalise personal terms with United.
And Wenger insists he had no option but to sell van Persie because he had just a year left on his current deal and he had already refused to sign a new deal.
"He is at Manchester United, unfortunately for us. The transfer was finalised in the afternoon," said Wenger whilst working for French TV station TF1 on Wednesday.
"It's never great to lose players of that quality but he only had a year contract so we do not have a choice."
Wenger then stated that he had already signed Olivier Giroud and Lukas Podolski to cover for van Persie's departure.
"We have already recruited since we Giroud and Podolski who originally were intended to offset the departure of van Persie," he concluded.

     

FABRICE MUAMBA RETIRED FROM SOCCER.

Bolton Wanderers midfielder Fabrice Muamba has retired from professional football as he continues to recover from suffering a cardiac arrest during a match.
The decision was made on the recommendation of his medical team, following extensive consultations with leading cardiologists both in the UK and mainland Europe.
In a statement issued by his club, Muamba said: "Since suffering my heart attack and being discharged from hospital, I have remained utterly positive in the belief I could one day resume my playing career and play for Bolton Wanderers once again.
"As part of my ongoing recovery, last week I travelled to Belgium to seek further medical advice from a leading cardiologist.
"But the news I received was obviously not what I had hoped it would be and it means I am now announcing my retirement from professional football.
"Football has been my life since I was a teenage boy and it has given me so many opportunities.
"Above all else, I love the game and count myself very lucky to have been able to play at the highest level.
"While the news is devastating, I have much to be thankful for. I thank God that I am alive and I pay tribute once again to the members of the medical team who never gave up on me.
"I would also like to thank everyone who has supported me throughout my career, and the Bolton fans who have been incredible. I am blessed to have the support of my family and friends at this time."
The midfielder suffered a cardiac arrest on the pitch on March 17 during a match against Tottenham Hotspur.
His heart stopped beating for 78 minutes following his collapse and he spent a month at the London Chest Hospital before being discharged in April.

SAKATA LA VAN PERSIE

HUYU NDIO MTANGAZAJI TV MAARUFU SHABIKI WA ARSENAL ALITISHIA KUJIUA ENDAPO VAN PERSIE ANGEONDOKA ARSENAL.

Mtangazaji maarufu wa kituo cha CNN raia wa Uingereza Piers Morgan ambaye anatambulika kwa mapenzi yake aliyonayo juu ya klabu ya Arsenal FC - Piers Morgan jana alitoa mpya katika mtandao wa Twitter.

Huku kukiwa kumebakiwa na masaa kadhaa kabla ya Arsenal kuthibitisha kwamba wamekubalina bei ya ada ya uhamisho wa Robin van Persie kwenda Manchester United, Piers Morgan alikuwa akitoa kauli za kuomba nahodha wao asiondoke klabuni kwao, na hata kama ikiwa anaondoka basi asiuzwe kwa klabu ambayo anadai ni wapizani wao nchini Uingereza.

Baada ya mfululizo wa tweets za namna hiyo baadae kama alifikiria nini kitatokea baada ya muda mchache akaandika tweet iliyokuwa na ujumbe wa moja kwa moja kwenda Van Persie ukisema "Sio kama nakupa presha Van Persie - lakini ikiwa utaondoka #Arsenal then nitaenda kujirusha mwenyewe kwenye daraja la ya Santi Monica."

TAIFA STARS WATOKA SARE.

MRISHO NGASSA AIOKOA STARS NA KIPIGO BOTSWANA - YATOKA SARE YA 3-3

Taifa Stars imetoka sare ya mabao 3-3 na wenyeji Botswana (Zebras) katika moja kati ya mechi kadhaa za kirafiki za kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) zilizochezwa leo (Agosti 15 mwaka huu) usiku.
Hadi mapumziko kwenye mechi hiyo iliyochezwa Uwanja wa Molepolole ulioko Kilometa 40 nje ya Jiji la Gaborone, timu hizo zilikuwa zimefungana mabao 2-2. Stars ndiyo iliyokuwa ya kwanza kupata bao dakika ya 17 lililofungwa kwa penalti na beki Erasto Nyoni.
Mwamuzi Lekgotia Johannes Stars alitoa adhabu hiyo baada ya beki Oscar Obuile Ncenga wa Zebras kumuangusha ndani ya eneo la hatari mshambuliaji Mrisho Ngasa aliyekuwa akimkabili kipa Mompoloki Sephekolo.
Bao hilo halikudumu muda mrefu, kwani Zebras walisawazisha dakika ya 26 baada ya shuti kali lililopigwa na
Lemponye Tshireletso nje ya eneo la hatari kumshinda nahodha wa Taifa Stars, Juma Kaseja. Dakika tano baadaye kiungo mshambuliaji Mwinyi Kazimoto aliifungia Stars bao la pili kwa shuti la mbali.
Tshireletso aliisawazishia tena Zebras dakika ya 37. Mfungaji alifunga bao hilo kwa kichwa akiunganisha mpira wa krosi kutoka wingi ya kushoto uliopigwa na Tebogo Sembowa ambaye kabla alimtoka beki Aggrey Morris.
Kipindi cha pili kilianza kwa Kocha Kim Poulsen wa Stars kuwatoa Frank Domayo na Salum Abubakar na nafasi
zao kuchukuliwa na Shabani Nditi na Athuman Idd. Safari hii Zebras ndiyo walioanza kufunga dakika ya 69 ambapo kiungo Michael Mogaladi aliifungia bao la tatu kwa kichwa akiunganisha krosi fupi iliyotokana na mpira wa kurusha.
Dakika 13 za mwisho Stars walicheza pungufu baada ya beki Erasto Nyoni kutolewa nje kwa kadi nyekundu kutokana na kumchezea rafu mshambuliaji Lovemore Murirwa.
Mrisho Ngasa ambaye alikuwa nyota kwenye mchezo huo aliisawazishia Stars dakika ya 84 baada ya kugongeana one-two na mshambuliaji Simon Msuva aliyetokea benchi kuchukua nafasi ya Haruna Moshi.
"Licha ya timu kucheza vizuri, tatizo kubwa lilikuwa kwenye safu ya ulinzi ambapo mabeki waliruhusu mipira mingi ya krosi na kuwaacha washambuliaji wa Botswana wakifunga bila bughudha. Mabeki hawatakiwi kuruhusu mipira ya krosi, wakiruhusu ni lazima wahakikishe wanawadhibiti washambuliaji wa timu pinzani.
"Kwa upande wa washambuliaji, Said Bahanuzi alikuwa akicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa akiwa na Stars tangu nilipomjumuisha kwenye timu kwa mara ya kwanza. Kuna makosa madogo madogo ambayo niliyatarajia, hivyo nitamrekebisha polepole," alisema Kocha Poulsen mara baada ya mechi hiyo.
Stars; Juma Kaseja, Erasto Nyoni, Amir Maftah, Aggrey Morris, Kelvin Yondani, Frank Domayo/Shabani Nditi,
Mrisho Ngasa, Salum Abubakar/Athuman Idd, Said Bahanuzi/Simon Msuva, Haruna Moshi/Ramadhan Singano na Mwinyi Kazimoto.
Zebras; Mompoloki Sephekolo, Tshepo Motlhabankwe/Tshepo Maikano, Edwin Olerile, Oscar Obuile Ncenganye, Mompati Thuma, Patrick Motsepe/Jackie Mothatego, Lemponye Tshireletso, Michael Mogaladi, Tebogo Sembowa, Ntesang Simanyana na Galabgwe Moyana/Lovemore Murirwa.
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inarejea nyumbani kesho (Agosti 16 mwaka huu) ambapo itawasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 1.20 usiku kwa ndege ya Kenya Airways.

Tuesday, August 14, 2012

HELIKOPTA ZA UGANDA ZAPATIKANA.

MABAKI YA HELKOPTA ZA UGANDA ZILIZOPOTEA YAPATIKANA NCHINI KENYA BAADA YA KUANGUKA


Mabaki ya helkopta mbili za Uganda zilizokuwa zimepotea yameonekana nchini Kenya katika maene ya Mlima Kenya baada ya kuanguka.
Kwa mujibu wa Afisa wa Kijeshi wa Kenya hatma ya watu 10 waliokuwa wakisafiri na helkopta hizo bado haijulikani.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Kenya, helkopta hizo zipatikana moja ikiwa imeungua kabisa na nyingine ikining’inia kwenye mwamba.
Helkopta hizo mbili zilikuwa ni sehemu ya kikosi kulichokuwa kinakwenda kuongeza nguvu katika majeshi ya kulinda amani ya Umoja wa Afrika yaliyoko Somalia.
Awali helikopta 4 ziliondoka na kupaswa kusimama nchini Kenya, lakini kwa mshangao ni helkopta 1 tu ilitua salama.
Helkopta ya 4 katika kundi hilo pia imeanguka, lakini watu wote 7 waliokuwa ndani yake wameokolewa.
Helkopta hizo zilizokuwa zimepotea mabaki yake yalipatikana na Maafisa Huduma za Wanyamapori wa Kenya.
Kwa sasa jeshi la Kenya linaendelea na zoezi la kuokoa, japokuwa wamesema mahali zilipoangukia hapafikiki kirahisi hivyo inawabidi kutumia utaamu na askari wa miguu, kwa ku eneo zilipo hakuna sehemu ya kutua.

HESLB-TCU WAWAENGUA WALIOOMBA MIKOPO

WANAFUNZI 3074 WALIOOMBA MIKOPO WAENGULIWA NA BODI YA MIKOPO-TCU

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo, George Nyatogo.
Na Joachim Mushi, Thehabari.com
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini pamoja na Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imewaengua zaidi ya wanafunzi 3074 walioomba vyuo na mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka 2012/13.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na taasisi hizo kupitia mitandao yao (website) Agosti 10 na 12, 2012 zaidi ya wanafunzi 3074 wameenguliwa katika maombi yao kwa kuwa na dosari mbalimbali.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) pekee imeorodhesha zaidi ya wanafunzi 2,649 ambao imebaini kuwa na mapungufu kadhaa katika maombi yao ya kupewa mikopo ya vyuo.
Miongoni mwa makosa ama dosari ambazo bodi imezibaini kwa walioenguliwa kwa sasa ni pamoja kukosekana kwa vyeti vya kuzaliwa kwa muombaji, sahihi ya mdhamini/muombaji, kukosekana kwa picha ndogo ya muombaji/mdhamini, kukosekana kwa sahihi za viongozi wa Serikali za mitaa/vijiji kwa waombaji na nyaraka nyingine muhimu kwa waombaji.
Kwa upande wake TCU imewaengua jumla ya waombaji 425 kwa dosari na makosa mbalimbali, ambayo imeyabainisha katika taarifa yake.
Miongoni mwa dosari ambazo zimetajwa na TCU kwa wanafunzi hao ni pamoja na baadhi yao kukosea namba za vyeti vya masomo kwa vidato vya nne na tano (O’ level na A’ level Index number), miaka ya kumaliza masomo (year of completion), mawasiliano sahihi kwa muombaji (Contact information e.g. Mobile phone number, email address and postal address) pamoja na uchaguzi wa masomo (Programme selected).
Waweza kuingia katika linki hii hapo chini na kuona majina ya waliobainika kuwa na dosari anuai katika maombi yao kwa TCUhttp://www.tcu.go.tz/uploads/file/LIST%20OF%20APPLICANTS%20FOR%202012-2013%20ADMISSIONS%20WITH%20MISSING%20INFORMATION.pdf
Hata hivyo taasisi hizo mbili zimetoa muda kwa walioenguliwa sasa kutokana na dosari hizo kurekebisha na kutuma tena maombi yao kupitia mitandao kwa mujibu wa maelekezo waliyotoa. Kwa taarifa zaidi pia waweza kutembelea mitandao ya www.heslb.go.tz na www.tcu.go.tz
Habari hii imeandaliwa na mtandao wa Thehabari

AFGHANISTAN UNREST

KIZAZAA CHAENDELEA AFGHANISTAN; WATU KADHAA WAUAWA KATIKA MILIPUKO YA KUJITOA MHANGA.


Watu kadhaa wameuawa Kusini-Magharibi mwa Afghanistan katika mfululizo wa mashambulizi ya kujitoa mhanga.
Maafisa waandamizi wa polisi katika jimbo la Nimroz wamesema takriban maeneo manne tofauti yameshambuliwa katika mji mkuu wa jimbo hilo wa Zaranj.
Takriba watu 35 wameuawa na wengine karibia 80 wamejeruhiwa.
Mlipuko umetokea katika soko ambapo watu kadhaa walikuwa katika heka heka za kujiandaa kusherehekea kumalizika kwa mfungo wa mwezi Ramadan.
Naibu Mkuu wa Polisi wa Jimbo hilo Mujibullah Latifi amekaririwa akisema baadhi ya washambulizi hao wameuawa na polisi.

LAWAMA KWA RAFAEL WA MANCHESTER UNITED.

Monday, August 13, 2012

SHIRIKISHO LA SOKA LA BRAZIL LAMTUPIA LAWAMA ZA KUFUNGWA OLYMPIC RAFAEL WA MAN UNITED, KOCHA NA NEYMAR WAMTETEA

Siku mbili baada ya kushindwa kuvunja mwiko wa kutochukua medali ya dhahabu kwenye soka katika michuano ya Olympic, shirikisho la soka la Brazil limechukua hatua ya kushangaza kwa kumlaumu beki wa kimataifa wa nchi anayekipiga Manchester United Rafael kutokana na kufungwa kwenye fainali dhidi ya Mexico.

Kosa alilofanya Rafael lilipelekea Mexico kupata goli la kwanza sekunde ya 29 tu ya mchezo. Brazil walihangaika kupata goli la kusawazisha mapema lakini wakaishia kutandikwa la pili kwenye dakika ya 74.

Mshambuliaji wa Porto Hulk akasawazisha bao moja katika dakika za majeruhi lakini halikutosha kwa Brazil ambao wameshashinda medali za dhahabu za World Cup mara tano lakini hawajawahi kuigusa ya Olympic.

Shirikisho la soka la Brazil lilitoa taarifa jana likimlaumu kinda huyo mwenye miaka 21kwenye website, ambayo ilisema: "Beki wa kulia Rafael anajua alifanya makosa ambayo yamepelekea goli la kwanza kwenye mechi dhidi ya Mexico katika Olympic London 2012.
"Hakuna cha kukataa, ingawa kwa uwezo na kiwango chake, Rafael hawezi kuhukumiwa kwa kosa hilo tu"
"Makosa yapo ili yarekebishwe. Rafael anajua hili. Baadae, mambo yatakapotulia, kwa hakika ataangalia mbele na kujifunza zaidi"

Lawama hizi za shirikisho ni tofauti kabisa mtazamo wa wachezaji na makocha ambao walimtetea kinda huyo wa Sir Alex Ferguson.

Kocha Mano Menezes amesema Brazil walikuwa na dakika 89 za kusawazisha na kubadilisha matokeo lakini haikuwa hivyo, wakati Neymar alisema kila mchezaji wa timu hiyo anapaswa kubeba mzigo wa lawama.

 

TAIFA STAR KUELEKEA BOTSWANA

TAIFA STARS WAKWEA PIPA LEO ALFAJIRI KUELEKE GABORONE, BOTSWANA.

Wachezaji wa timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere tayari kwa kupanda ndege kwenda Gaborone, Botswana kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kirafiki itakayochezwa kesho Jumatano.
Nohodha wa timu ya Taifa,Taifa Stars Juma Kasseja akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere tayari kwa kupanda ndege kwenda Gaborone, Botswana kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kirafiki itakayochezwa kesho Jumatano.
Washambuliaji wa timu ya taifa, (Taifa Stars) Mrisho Ngassa (kulia) na Haruna Moshi Boban wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam kwa ajili ya safari ya kwenda Gaborone, Botswana kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa kesho Jumatano.
Wachezaji wa timu ya Taifa,Taifa Stars wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam,kwa ajili ya safari ya kwenda Gaborone, Botswana kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa kesho Jumatano.

Monday, August 13, 2012

2012 OLYMPIC LONDON

KUNDI LA ‘SPICE GIRLS’ KUPAGAWISHA KATIKA SHEREHE ZA KUFUNGA MICHEZO YA OLIMPIKI 2012.








Imefahamika kuwa lililokuwa kundi maarufu la muziki nchini Uingereza la ‘Spice Girls’ limeungana tena na linatarajiwa kufanya onesho kabambe wakati wa sherehe za kufunga michezo Olimpiki 2012 jiji London.
Hata kabla ya wanamuziki wenyewe wa kundi hilo kuthibitisha habari hizo, tayari kamera za mitandao ya habari zimewanasa wakifanya mazoezi kwa ajili ya ‘show’ ya siku ya Jumapili.
Kikosi kizima cha kundi hilo kinachoundwa na Victoria Beckham, Geri Halliwell, Emma Bunton, Mel C na Mel B wameonekana wakinya mazoezi ya nguvu yanayolenga kuuthibitishia umma uwezo wao.

MANCHESTER CITY AGAIN.

Sunday, August 12, 2012

TEVEZ, YAYA TOURE NASRI WAVUNJA DARAJA - WAIKUNG'UTA CHELSEA KWENYE NGAO YA JAMII.


Chelsea 2-3 Manchester City (Community Shield)... by goalsarena2012-3
 

END OF OLLYMPIC 2012 LONDON.

Feeling sad about the end of the Games? Eric Idle leads 80,000 crowd in rendition of Always Look on the Bright Side of Life

By IAN GARLAND

The audience at the Olympics closing ceremony were treated to a taste of Britain's comedy heritage tonight when Monty Python star Eric Idle appeared onstage.

The actor led the 80,000-strong crowd through a singalong rendition of Always Look on the Bright Side of Life, while a bizarre troupe of dancers performed around him.

They included jigging Morris Dancers, a choir of rugby players and skating nuns and when the song finished, a human cannonball was launched across the stadium.

He was followed by a performance by pop icons Queen, including vocals from Jessie J and from beyond the grave, by the band's late singer Freddie Mercury.

Comedy legend: Monty Python star Eric Idle appears at the Closing Ceremony to lead the audience through a singalong of his hit Always Look On The Bright Side of Life
Comedy legend: Monty Python star Eric Idle appears at the Closing Ceremony to lead the audience through a singalong of his hit Always Look On The Bright Side of Life

Finale: A heartstopping array of colours zigzag through the night sky above the Olympic Park as fireworks conclude the London 2012 Olympic Games
Finale: A heartstopping array of colours zigzag through the night sky above the Olympic Park as fireworks conclude the London 2012 Olympic Games

Alight: Fireworks explode into the London night sky as the Olympic closing ceremony comes to a spectacular end
Alight: Fireworks explode into the London night sky as the Olympic closing ceremony comes to a spectacular end

Inside the stadium, audience members and athletes look on as the Olympic Park is illuminated Inside the stadium, audience members and athletes look on as the Olympic Park is illuminated by a breathtaking display

It's over: Fireworks light up the Olympic Village in Stratford, east London as London 2012 draws to an emotional close
It's over: Fireworks light up the Olympic Village in Stratford, east London as London 2012 draws to an emotional close

Supermodel: As the stadium is turned into a giant catwalk, London-born model Kate Moss appears wearing a gold Alexander McQueen dress
Supermodel: As the stadium is turned into a giant catwalk, London-born model Kate Moss appears wearing a gold Alexander McQueen dress

Shimmering: Naomi Campbell, draped in gold, takes over, strutting in a dazzling gold McQueen dress with a long trainShimmering: Naomi Campbell, draped in gold, takes over, strutting in a dazzling gold McQueen dress with a long train

Within moments, The Beatles' hit Because, performed by London gospel choir Urban Voices Collective, merged into Edward Elgar's Salut d'Amour by cellist Julian Lloyd Webber on top of the Royal Albert Hall.

As the morning traffic jam came to life, newspaper-clad vehicles from black cabs and vintage cars to folding bikes revved their engines and honked their horns as newspaper-dressed businessmen and women portrayed a busy Monday morning on Waterloo Bridge.

Winston Churchill, played by King's Speech actor Timothy Spall, stood atop Big Ben reciting the same lines from Shakespeare's The Tempest which helped open the Games 16 days ago: "Be not afeard: the isle is full of noises."

As the deafening noise grew to a crescendo, Churchill brought the worldwide audience's focus to the royal box as a fanfare announced the arrival of Prince Harry and International Olympic Committee president Jacques Rogge.

As Union flags were waved from car windows, the packed stadium was led in the British National Anthem by the London Symphony Orchestra and the Urban Voices Collective.

Read more>>

DR ULIMBOKA AREJEA KUTOKA MATIBABUNI

Angalia na sikiliza kwa makini Video ya Dr Ulimboka alivyorejea nchini akitokea Afrika Kusini kwenye matibabu.

Picture: Dr. Ulimboka Stephen
Mwenyekiti wa jumuia ya madaktari Tanzania Dr Steven Ulimboka aliyekuwa nchini Afrika ya kusini kwa ajili ya matibabu baada ya Kutekwa kupigwa na watu wasiojulikana amerejea nchini na kulakiwa na madaktari wenzake,wanaharakati wa haki za binadam na wananchi wa kawaida.

WASIOLIPA MITIHANI SUZA KUZUILIWA.

Wasiolipa ada kutofanya mitihani SUZA


Kiongozi wa Serekali ya Wanafunzi akimuunesha orodha ya Wanafunzi ambao majina yao yanasubiri malipo yao kutoka Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu .

Wanafunzi wa Chuo Kikuu ch Taifa Zanzibar SUZA, wakiwa nje ya Ofisi ya Mhasibu wa Chuo wakisubiri hatma yao, kuweza kufanya mitihani yao inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo.

Wasiolipa ada kutofanya mitihani SUZA

Na Mwanajuma Mmanga

UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimezuwiya kufanya mitihani kwa wanafunzi wote ambao hawajakamilisha ada za masomo hali ambayo imepelekea mgongano na mizozo baina ya wanafunzi na uongozi wa chuo hicho.

Kauli hiyo imetolewa na wanafunzi wa chuo hicho walipokuwa katika maandamano ya kudai haki yao kufanya mitihani hiyo.

Mmoja miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho Ali Kombo alisema wiki moja baadae tunatarajia kufanya mitihani hiyo ghafla wanapokea taarifa ya kuwa kila mwanafunzi hajakamilisha malipo ya ada hatomruhusu kufanya mtihani jambo ambalo ni kinyume na matakwa yao.

Pia alisema kuna baadhi ya wanafunzi wanalipiwa na bodi ya mikopo la taifa lakini mpaka sasa hawajaingiziwa fedha hizo hali ambayo inarejesha nyuma masomo yao.

"Sisi baadhi yetu tushalipiwa na bodi kwa asilimia 90 na kumebaki asilimia 10 tu kwanini wakatuzuilia kutofanya mitihani hiyo. hii fedha kama asilimia 80 ishalipiwa na bodi wakati hela hiyo inakuja moja kwa moja inaingia kwenye akaunti" alisema.

Kwa upande wa Rais wa Serikali ya wanafunzi wa chuo hicho Ali Sharifu Kombo, alisema kuwa yeye binafsi kwa kushirikiana na uongozi wa serikali yake wameshafuatilia kwenye bodi ya mikopo Tanzania na kuhakikishiwa kuwa fedha hizo tayari wameshaingiziwa.

Makamu Mkuu wa chuo hicho Profesa Idrisa Rai alisema fedha za wanafunzi hao bado hazijaingizwa nao kama uongozi wanalalamikia kudai ada za masomo ya wanafunzi kwa lengo la maendeleo ya chuoni hapo.

Sambamba na hilo Nae Kaimu Meneja wa Bodi ya Mikopo Tanzania, Patric Show alisema fedha za wanafunzi hao tayari zimeshaingiziwa katika akaunti zao na hivyo inawezekana ikawa ni kuchelewa kwa mawasiliano baina ya bodi na Uongozi wa chuo hicho.

Meneja huyo wa bodi hiyo alisema mchakato mzima uliosababisha kuchelewa kwa kufika barua hiyo katika bodi ya mikopo Dar es Salaam kwa muhusika mkuu ni Sajent wa bodi, lakini kumbe kabla ya hapo Mhasibu wa chuo hicho, Rukia tayari ameshaingiziwa tokea jana.

Kutokana na kuchelewa kwa kupelekwa kwa barua hiyo tayari zimeshaingizwa ndani ya akaunti zao kwa kila mwanafunzi ambae yuko chuoni hapo.

Meneja huyo amekiri kuwa fedha hizo tayari zimeshaingizwa ndani ya akaunti hizo jumla ya shilingi milioni 13, kwa orodha ya wanafunzi 58 wa chuo SUZA.

Hivyo amewataka wanafunzi hao kuwa wastahamilivu katika kuvuta subra na kuwa wasikivu kwani mipango yote ishakaa sawa na kila mmoja atapata haki yake na atafanya mtihani huo.




Friday, August 10, 2012

BOLT LEGAND.

01:09

Day 13 Review: Golden night for 'legend' Bolt

Not content with just becoming a legend, Usain Bolt claimed he is 'the greatest athlete to live' after becoming the first man to win the Olympic Games sprint double twice in succession.
Usain Bolt of Jamaica
Usain Bolt celebrates during the Victory Ceremony for the men's 200m on Day 13 at London 2012.
While millions would already consider Bolt a legend for winning triple gold in Beijing and defending his 100m title at London 2012 on Sunday, the Jamaican insisted he also had to retain his 200m title to achieve such status.
And the 25-year-old did precisely that with another imperious performance, leading a Jamaican clean sweep ahead of 100m silver medallist Yohan Blake and Warren Weir, both of whom are just 22.
'I'm now a living legend, I'm also the greatest athlete to live,' said Bolt, who said he gave up on breaking his own world record of 19.19 after feeling a twinge in his back coming off the top bend, settling for winning in 19.32.
'Now I am going to sit back, relax and think about what's next. I don't know what I really want to do after this, whether to run the 100 or 200 or try something else. I need to find a (new) goal that's going to motivate me to great things.
'But I am not ready to retire. I love this sport. The rest of the season I am just going to have fun because I did what I came here to do.'
Kenya's David Rudisha lit up the Olympic Stadium with a sensational victory in the 800m, breaking his own world record in the process.

Rudisha made the most of ideal conditions, storming through the first lap in 49.28 and powering to the gold medal in 1:40.91.
There was success for the USA as Christian Taylor added the Olympic title to his world Triple Jump crown and Ashton Eaton claimed Decathlon gold.
The final gold medal of the evening went to Czech Barbora Spotakova, who successfully defended her Javelin Throw title with a best effort of 69.55m.

ENGLAND VICTORY 2012 OLYMPIC.

Jones overcomes pain to win gold

Jade Jones fought through the pain barrier to land Britain's first taekwondo Olympic gold with a stunning victory over world champion Hou Yuzhuo of China in the women's under-57kg final at ExCeL.

Jade Jones of Great Britain celebrates with her gold medal
Jade Jones of Great Britain celebrates with her gold medal after the women's -57kg Taekwondo final on Day 13.
The Wales teenager - world silver medallist after being beaten by Hou in Korea last year - had opened her Olympic debut with an impressive 15-1 victory over Serbian Dragana Gladovic and dispatched Japan's Mayu Hamada 13-3 in the last eight before a late rally of trademark headkicks beat world number one Tseng Li-Cheng of Chinese Taipei.
The 19-year-old from Flintshire showed no fear in the final tonight against the Chinese fighter, closing out a 6-4 victory as South Arena 1 erupted.
Jones was not going to let anything get in the way of her Olympic dream.
"I hurt my foot in the very first fight, it was a kick to the shin, so I had an injection in it," said Jones.
"At first, I was whinging and feeling sorry for myself, but I just had to deal with because I wanted to win."

OLYMPIC 2012 ENGLAND.

Adams claims historic gold

Nicola Adams sealed her golden moment with an Ali shuffle as she overwhelmed China's double world champion Ren Cancan 16-7 to be crowned the first-ever Olympic women's Boxing champion at ExCeL.
Adams dropped Ren in the second round on her way to a comprehensive Fly Weight victory against an opponent who had beaten her in each of the previous two World Championships finals.
Adams made a superb start, producing much the cleaner work in the opening round, firing home a quick combination and a left hook and making it difficult for Ren to find her range as she bounced in and out of reach.
A beautiful straight left followed by a right hook towards the end of the round helped Adams into a deserved 4-2 lead, but it was far from over against the Chinese champion who stormed out for the second and landed a big right hand in a furious flurry of action.
Adams was completely unfazed, landing with a beautiful countering left, then a right as she bullied the Chinese fighter onto the ropes and unleashed a left followed by a chopping right which dumped Ren to the canvas for a count.
It was a staggering round by Adams, who took a 9-4 lead into the second half of the contest, but will have known to stay on her guard against an opponent who has dominated at the top of her division for four years.
In a quieter third, Adams proved a master at keeping Ren out of range, darting in to score with crisp counters, and at the end of the third the gold medal was almost hers after establishing a colossal 14-5 lead.