Pages

Saturday, October 13, 2012

MECHI YA SIMBA NA COASTAL UNION TANGA

 

Hakika ndio Habari ya iliopo Mjini kwa sasa. Mechi hii inayochezwa leo Jijini Tanga katika Uwanja wa Mkwakwani imeteka hisia kubwa za watu kwasababu Coastal union imepania mchezo huu kwa kutaka kuvunja rekodi ya Simba ambayo haijafungwa mchezo wowote mpaka sasa.

Timu zote 2 zimecheza michezo 6 huku Coastal ikiwa imejikusanyia points 9 nafasi ya 6 na Simba points 16 nafasi ya 1.


Mpaka sasa nimefanikiwa kupata kikosi cha kitachoanza cha timu ya Coastal na kipo kama ifuatavyo.


1.Chove (Gk)
2.Said Sued (C)
3.Juma Jabu
4.Jamali Macherenga
5.Kibacha
6.Jerry Santo
7.Soud
8.Razak Khalfan
9.Nsa job
10.Atupele Green
11.Kassim Salembe

Reserve:
1.Rajabu kaumbu (Gk)
2.Ismail suma
3.Abdul Banda
4.Lamelk
5.Mahundi
6.Aziz gilla
7.Daniel lyanga

Team coach
Hemed Morocco

No comments:

Post a Comment