Pages

Saturday, June 15, 2013

HOSPITALI YA MNAZI MMOJA YATEMBELEWA.


 Jengo la Hospitali Kuu ya Rufaa ya Mnazi Mmoja likionekana Pichani ambalo linatowa huduma kwa Wananchi wa Zanzibar kwa matibabu.

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Abdalla Majura Bulembo, akimkabidhi zawadi mama wa mtoto aliyelazwa katika wodi ya watoto katika hospitali hiyo ikiwa ni ziara yake Zanzibar.

No comments:

Post a Comment