Pages

Sunday, June 30, 2013

WAKE WA MARAIS WATEMBELEA MAONESHO


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na waandishi wa habari mara tu baada ya kumaliza ziara yake na ugeni aliouongoza kutembelea mabanda mbalimbali ya maonesho tarehe 30.6.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifuatana na ,mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Inkhosikati Lambikiza (kushoto) na Waziri wa Jinsia, watoto na familia wa DR Congo ambaye amemwakilisha mke wa Rais Joseph Kabila Mheshimiwa Inagosi Bulo na mke wa Makamu wa Rais wa Zambia Mama Charlotte Scott wakianza kutembelea mabanda kwenye uwanja wa maonesho wa Mwalimu Nyerere, kwenye barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tarehe 30.6.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiandamana na Mheshimiwa Inagosi Bulo kutoka DRC (kushoto) na Inkhosikati Lambikiza wa Swaziland na Mama Charlotte Scott wa Zambia wakiwa nje ya banda la Zanzibar mara baada ya kutembelea banda hilo.

No comments:

Post a Comment