Pages

Wednesday, August 14, 2013

KUNDI LA BOKO HARAMU LATISHIA MAISHA YA WATU NIGERIA

boko_haram
Wakazi wa mji wa Konduga kaskazini mwa Nigeria wametoroka baada ya wapiganaji waliovalia sare za jeshi kuwapiga risasi na kuwaua karibu watu 50 katika msikiti mmoja wa eneo hilo, muda mfupi kabla ya sala ya asubuhi.
Shambulio hilo limedaiwa kufanywa na kundi lenye itikadi kali za kiislamula  Boko Haram, ambalo linalaumiwa kwa mauaji ya mamia ya wakazi wa eneo hilo.
Shirikaka la Habari la Deutche Press limesema wafuasi 20 wa kundi la Boko Haram wanahojiwa na polisi kuhusiana na mauaji hayo

No comments:

Post a Comment