Pages

Wednesday, August 14, 2013

SEREKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR IKO KATIKA MKAKATI YA KUIFANYA HOSPITALI MNAZI MMOJA KUWA YA RUFAA


WANANCHI  wakiwa nje ya mlango kuu wa kuingia hospitali Kuu ya Mnazi mmoja, wakisubiri kupata ruhusa ya kuingia ndani ya jengo hilo kuonana na Madaktari, utaratibu huu umekuwa usumbufu kwa wagonjwa wanaofika katika hospitali hiyo, kupata huduma muhumu, kutokana na usumbufu wanaopata kutoka kwa walinzi wa hospitali hiyo
 

No comments:

Post a Comment