Pages

Sunday, May 27, 2012



Askari wa kutuliza ghasia [FFU] wakizunguka katika mji wa Zanzibar kuhakikisha kwamba, hali inakuwa shwari na shughuli kurudi katika hali ya kawaida.
. Sehemu za Michenzani inavyoonekana katika picha hii jinsi, ilivyo, hii ni katikati ya mji wa Zanzibar.Mungu ibariki Zanzibar na watu wake wote,sisi tunaomba amani tu itawale.

No comments:

Post a Comment