Pages

Monday, September 10, 2012

LIGI KUU YA GRAND MALT ZANZIBAR IMEEANZA


Hapa hapiti mtu ndivyo inavyonekana akinena beki wa timu ya Malindi Khamis Ibrahim Kapenta akimzuia mshambuliaji wa timu ya Bandari Sharif Kitwana.

Wapenzi na Wanachama wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malta wakifuatilia mchezo kati ya Malindi na Bandari uliofanyika uwanja wa Amaan.
Mshambuliaji wa timu ya Bandari Sharif Kitwana akimiliki mpira huku beki wa timu ya Malindi Khamis Ibrahim Kapenta akijaribu kumzuia
Mchezaji wa timu ya Bandari Mohammed Hussein akiwapita mabeki wa timu ya Malindi katika mchezo wa ligi Kuu ya Grand Malta mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya Bandari imeshinda 3-2
Mshambuliaji wa timu ya Bandari Zanzibar Sharif Kitwana akimiliki mpira katika mchezo wa ligu Kuu ya Grand Malta na huku beki wa timu ya Malindi Samir Khamis akijiandaa kumzuia, timu ya Bandari imeshinda 3-2


Viongozi wa timu ya Malindi wakiwa wameduwaa baada timu yao kulala kwa mabao 3-2, katika mchezowaxLigi Kuu ya Grand Malta Zanzibar iliofanyika uwanja wa Amaan.
Wachezaji wa timu ya Bandari Zanzibar wakishangilia gali lao la tatu waklati wa mchezo wa ligi Kuuya Grand Malta Zanzibar, timu ya Bandari imeshinda 3-2

No comments:

Post a Comment