Wednesday, October 10, 2012
Monday, October 8, 2012
Sunday, October 7, 2012
Monday, September 17, 2012
VURUGU ZILIZOJITOKEZA WAKATI WA UCHAGUZI JIMBO LA BUBUBU,LAKINI HALI NI SHWARI ASUBUHI HII
Kumekuwa
na vurugu za hapa na pale, Polisi kupambana na vijana kwenye kituo cha kupigia
kura wakati wa uchaguzi mdogo kumchagua Mwakilishi wa jimbo la Bububu Zanzibar
jana. (
Polisi wa kutuliza ghasia
wakiwa katika doria eneo la Bububu
Polisi wa kuzuia ghasai wakijaribu kuwadhibiti baadhi ya vijana waiokuwa karibu na kituo cha upigaji kura
Askari wa kutuliza ghasia pamoja na vikosi vya vbalantia wakishuka katika gari wakati weakidhibiti rabsha rabsha na purukushani zilizojitokea wakati wa upigaji kura
Mawakala wa vyama tofauti vilivyoshiriki katika uchaguzi wa bububu wakifuatilia kwa makini maendeleo ya zoezi hilo
Mmoja katika wapiga kura wa jimbo la Bububu akipiga kura yake
Polisi wa kuzuia ghasai wakijaribu kuwadhibiti baadhi ya vijana waiokuwa karibu na kituo cha upigaji kura
Askari wa kutuliza ghasia pamoja na vikosi vya vbalantia wakishuka katika gari wakati weakidhibiti rabsha rabsha na purukushani zilizojitokea wakati wa upigaji kura
Mawakala wa vyama tofauti vilivyoshiriki katika uchaguzi wa bububu wakifuatilia kwa makini maendeleo ya zoezi hilo
Mmoja katika wapiga kura wa jimbo la Bububu akipiga kura yake
Picha zote na Martin
Kabemba
Imewekwa na MAPARA at 9:13
Sunday, September 16, 2012
CCM YASHINDA UCHAGUZI MDOGO BUBUBU.
Akitangaza matokeo Misimamizi wa Uchaguzi huo
Suluhu Ali Rashid amesema kuwa Hussein Ibrahim Makungu wa CCM ameshinda kwa
kupata kura 3371 sawa sawa na asilimia 50.7ambapo Issa Khamis Issa wa CUF
amepata kura 3204 sawa sawa na asilimia 48.2
Aidha Suluhu amesema kuwa Mgombea wa Chama cha
ADC Zuhura Bakari Mohamed amepata kura 45 sawa sawa na asilimia 0.7 wakati
Abubakar Hamad Said wa Chama cha AFP amepata kura 8 sawa sawa na asilimia 0.1,
Mtumweni Jabir Seif wa Jahazi Asilia amepata kura 7 sawa sawa na asilimia
0.1,Haroun Abdulla Said wa NCCR amepata kura 3 sawa sawa na asilimia 0.0,
Suleiman M.Abdulla wa NRA amepata kura 1 sawa sawa na asilimia 0.0 Seif Salim
Seif amepata kura tatu sawa sawa na asilimia 0.0 na Juma Metu Domo wa Chama cha
SAU amepata kura 4 sawa sawa na asilimia 0.1.
Jumla ya kura 6720 zilipigwa sawa sawa na
asilimia 68.6.Kura 74 ziliharibika sawa sawa na asilimia 1.1Kura halali
ziliozopigwa zilikuwa 6646 sawa sawa na asilimia 98.9na waliojiandikisha
walikuwa 9799.
Thursday, September 13, 2012
VAN PERSIE, HAZARD, CAZORLA, MODRIC NA WACHEZAJI WENGINE WALIOTIKISA VYOMBO VYA HABARI KATIKA DIRISHA LA USAJILI
Kipindi cha usajili ni kipindi ambacho mashabiki wa soka ulimwenguni kote huwa na presha kubwa ya kutaka makocha wa timu wanazoshabikia zisajili wachezaji fulani au ziwaache wachezaji fulani, baada ya hapo dirisha la usajili linapofungwa mashabiki hukaa na kuanza kutafakari kilichofanywa na timu zao au kilichofanywa na timu nyingine kwenye usajil.
Ifuatayo ni orodha ya wachezaji 10 waliosajliwa na kutengeneza vichwa vya habari kwa tetesi mbalimbali za usajili.
10. Oscar
Roman Abramovich aliamua kufanya biashara mapema akiwalipa Santos paundi milioni 25 kabla ya michuano ya olimpiki huku akiwaacha wachezaji wengine wakiwazingua waandishi kwa tetesi mbalimbali.
Uwezo wake ulishadhiirika kwenye michuano ya olimpiki akiichezea Brazil na anaingia kwenye kikosi cha Chelsea akiwa ana mzigo wa matarajio kwa mashabiki.
9. Shinji Kagawa
Wakati Sir Alex Fergusson alipoonekana kwenye uwanja wa Olympic huko Ujerumani akifuatilia mchezo wa DFB Pokal kati ya Borrusia Dortmund na Bayern Munich wengi tayari walifahamu nini kinafuatia, siku tatu baada ya hapo Shinji alifichua kuwa yuko mbioni kukamilisha usajili kwenda Man United na baada ya hapo haikuwa siri tena.
Akiwa amecheza Dortmund misimu miwili huku aking'aa kwenye misimu yote Kagawa anaingia United akiwa na jukumu la kurithi nafasi inayotegemea kuachwa wazi na Paul Scholes, tofauti ya Bundesliga na EPL inaweza kuwa changamoto kubwa kwake lakini hakuna shaka juu ya ubora anayoongeza kwenye kikosi cha mashetani wekundu.
8. Santi Cazorla
Tayari Arsenal ilishawasajili Lukas Podolski na Olivier Giroud wakiwa wanajiandaa kumkosa Robin Van Persie ambaye tangu mapema alishasema anataka kuondoka.
Ghafla baada ya kuondoka kwa RVP, Alex Song naye akaondoka na hapo Wenger aliona haja ya kumsajili Sani Cazorla, mchezaji ambaye matatizo ya kiuchumi ya Malaga yalifaya tetesi za usajili wake kuwa kweli .
7. Mousa Dembele.
Kila lilipotajwa jina la Luka Modric la Mousa Dembele halikuwa mbali, kama utakumbuka wakati usajili wa Modric kwenda Madrid unaonekana kuelekea kufeli Dembele alitajwa kutazamwa na Madrid kama mbadala na pale Modric alipoenda Madrid Dembele alikwenda Tottenham kuziba pengo lake akitokea Fulham masaa kadhaa kabla ya dirisha kufungwa.
6. Clinton Dempsey.
Moja ya sababu za Fulham kufanya vizuri kwenye misimu ya hivi karibuni ni jina la kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Marekani Clint Dempsey.
Wakati kocha mpya wa Liverpool Brendan Rogers anaingia Anfield alimtaja Dempsey kama mmoja wa watu anaowahitaji, bahati mbaya paundi milioni moja iliwashinda Liverpool na ofa ya paundi milioni sita toka kwa Tottenham ilitosha kusajili mchezaji mwingine toka Fulham baada ya Dembele.
4. Alex Song & Jordi Alba
Jordi Alba alijijengea jina kama beki wa kushoto wapili kwa ubora nyuma ya Ashley Cole na usajili wake uligubikwa na tetesi za kwenda Man United na kurudi kwenye klabu alikoanzia soka Barcelona.
Tetesi zakwenda United zilififia haraka kama moto wa jiko la mkaa lililomaliza kupika baada ya beki huyo kusajiliwa na Barcelona akiwa mchezaji wa tatu wa Valencia kuitolea nje United ikiwa ipo tayari kutoa fedha zilizohitajika na Valencia, babu aliwahi kuchukua za uso toka kwa David Villa na David Silva pia.
Alex Song hakutengeneza vichwa vingi vya habari kwa kuwa taarifa yake kwenda Barca ilikuja ghafla na ilikuja baada ya Barca kushindwa kumsajili Javi Martinez ambaye Bilbao walikuwa wakitaka paundi milioni 40.
4. LUKA MODRIC
Dirisha hili la majira ya joto halikuwa na vurugu za usajili zilizozoeleka nchini Hispania , unapotafakari kuwa Madrid na Barca wamesajili wachezaji watatu kati yao unaweza kushangazwa na pengine hii ni ishara kuwa vikosi vyao vimetimia na ndio maana hakuna usajili mkubwa uliofanyika.
Moja ya tetesi ambazo karibu kila siku zilipamba vyombo vya habari ni ile ya Luka Modric, mwanzo aligoma kwenda pre-season, akagoma kufanya mazoezi lakini mwisho wake Spurs na Los Merengues Blancos walikaa kwenye meza moja na Modric akauzwa.
3. Lucas Moura.
Mwanzoni mwa dirisha la usajili magazeti ya Daily Mail, The Mirror, The Sun na mengineyo yaliripoti taarifa za United kutaka kumsajili winga kinda wa Sao Paolo Lucas Moura, baada ya hapo Clip za Youtube zinazomuonyesha dogo huyu akifanya vitu vyake ndani ya uzi wa Sao zilivunja rekodi ya kutazamwa.
Baada ya hapo mbio hizi zikawa ngumu baada ya timu nyingine kuingia, Inter Milan na Madrid walitajwa lakini tetesi zilizidi kuwapa nafasi kubwa United, baadaye mwishoni kabisa wakaingia PSG na mkwanja wa mafuta na hapo ikawa kilio kingine kwa United kwani Lucas alisajiliwa na wafaransa hao wanaofaidi fedha za kiarabu.
2. Robin Van Persie.

Robin tayari alishasema kuwa anataka kuondoka kwenda mahali ambako atatwaa ubingwa. Kauli hii ilizua vita kati ya Man United na Man City huku Juventus nao wakifuatilia kwa karibu hali ilivyoendelea. Tatizo la City lilikuwa mkurugenzi Brian Marwood ambaye alikuwa akitekeleza maelekezo ya mabosi ya kutonunua hovyo na upande wa Juve kifungo cha kutokaa benchi alichokipata Antonio Conte kilimvunja moyo Van Persie na kumfanya awe na chaguo moja tu ambalo ni Man United, biashara iifanyika na RVP akavikwa jezi namba 20 yenye nembo ya Man United.
1. Eden Hazard.
Tetesi za Hazard zilianza katikati ya msimu uliopita. Mwanzoni aliwataja Tottenham kama klabu ambayo angependa kuvaa jezi zake, baada ya hapo alikaribishwa kwenye manchester derby na kisha akapewa tour ya uwanja wa Etihad, baadaye zilitoka taarifa kuwa anatafuta nyumba jijini Manchester na hapo vita ikawa ya United na City, kuelekea mwishoni mwa msimu Hazard alitoa taarifa kuwa angevaa jezi za mabingwa wa ulaya na hapa ndio Chelsea walipoingia huku United nao wakiwa mabingwa wa zamani wa ulaya wakihusishwa lakini kwa mbali.
Mwishoni kabisa akasema atavaa jezi za blue na United wakaondoka , akaja Luis Saha kwenye twitter akitoa taarifa kuwa Hazard atasajiliwa na Chelsea, hakika tetesi za Hazard zilitawala vichwa vya habari kuliko usajili wowote ule.
Tuesday, September 11, 2012
Monday, September 10, 2012
WYNE ROONEY
My Decade in the Premier LeagueIn this new publication Wayne Rooney gives his account of life as a Premier League footballer and gives a real insight as to whats it's like to be part of one of the biggest football clubs in the world, days on the training pitch, the dressing room, the manager and performing in front of a 75,000 strong crowd.
Wayne started his career as an excitable 16 year old at Everton and has gone on to lift the Champions League trophy with Manchester United. At the age of 26 how much more can he win?
CLOSING DATE: Friday 14th September 2012
JONH EVANS OF MANCHESTER UNITED
Jonny Evans has shrugged off worries about another injury, confirming his full fitness after a scare whilst on international duty for Northern Ireland.
Despite not playing for Manchester United's first team so far this season - although he did feature for 90 minutes as an overage player in the Under-21s - Evans was thrust into Michael O’Neill’s side for the World Cup qualifying defeat to Russia on Friday.
The 25 year-old, who had surgery in the summer, limped off at half-time but managed to play the full match having had a heavier strapping applied during the interval. Fortunately, the Reds defender came through unscathed.
“I have only played one reserve game for United this season after having the surgery in the summer so, to be honest, it was just good to get back on the pitch,” Evans told BBC Sport.
“But I felt my ankle after about five minutes. It was the same one I had surgery on in the summer but I got a heavier strap put on it and I was able to carry on for the second half.
“I was disappointed I felt pain so quickly in the game but if I am being honest, I always expected I would feel a little pain - just not that early.
“After a couple of painkillers it did feel a bit better and if anything I felt stronger as the game went on, but like I say, I had a heavier strapping on then.”
So far, Sir Alex Ferguson has navigated United’s opening fixtures of the new campaign with limited defensive resources and might have been concerned
Despite not playing for Manchester United's first team so far this season - although he did feature for 90 minutes as an overage player in the Under-21s - Evans was thrust into Michael O’Neill’s side for the World Cup qualifying defeat to Russia on Friday.
The 25 year-old, who had surgery in the summer, limped off at half-time but managed to play the full match having had a heavier strapping applied during the interval. Fortunately, the Reds defender came through unscathed.
“I have only played one reserve game for United this season after having the surgery in the summer so, to be honest, it was just good to get back on the pitch,” Evans told BBC Sport.
“But I felt my ankle after about five minutes. It was the same one I had surgery on in the summer but I got a heavier strap put on it and I was able to carry on for the second half.
“I was disappointed I felt pain so quickly in the game but if I am being honest, I always expected I would feel a little pain - just not that early.
“After a couple of painkillers it did feel a bit better and if anything I felt stronger as the game went on, but like I say, I had a heavier strapping on then.”
So far, Sir Alex Ferguson has navigated United’s opening fixtures of the new campaign with limited defensive resources and might have been concerned
LIGI KUU YA GRAND MALT ZANZIBAR IMEEANZA
Hapa hapiti mtu ndivyo inavyonekana akinena
beki wa timu ya Malindi Khamis Ibrahim Kapenta akimzuia mshambuliaji wa timu ya
Bandari Sharif Kitwana.
Wapenzi na Wanachama wa timu zinazoshiriki Ligi
Kuu ya Grand Malta wakifuatilia mchezo kati ya Malindi na Bandari uliofanyika
uwanja wa Amaan.
Mshambuliaji wa timu ya Bandari Sharif Kitwana
akimiliki mpira huku beki wa timu ya Malindi Khamis Ibrahim Kapenta akijaribu
kumzuia
Mchezaji wa timu ya Bandari Mohammed Hussein
akiwapita mabeki wa timu ya Malindi katika mchezo wa ligi Kuu ya Grand Malta
mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya Bandari imeshinda 3-2
Mshambuliaji wa timu ya Bandari Zanzibar Sharif
Kitwana akimiliki mpira katika mchezo wa ligu Kuu ya Grand Malta na huku beki wa
timu ya Malindi Samir Khamis akijiandaa kumzuia, timu ya Bandari imeshinda
3-2
Viongozi wa timu ya Malindi wakiwa wameduwaa
baada timu yao kulala kwa mabao 3-2, katika mchezowaxLigi Kuu ya Grand Malta
Zanzibar iliofanyika uwanja wa Amaan.
Wachezaji wa timu ya
Bandari Zanzibar wakishangilia gali lao la tatu waklati wa mchezo wa ligi Kuuya
Grand Malta Zanzibar, timu ya Bandari imeshinda 3-2
Imewekwa na MAPARA.
MANCHESTER UNITED AND MANCHESTER CITY, ARSENAL, LIVEPOOL KUMUWANIA FELLAINI
Maroune Fellaini amesema kwamba muda wake wa kukaa Goodson Park umefikia tamati.
Kiungo huyo mwenye miaka 24 raia wa Ubelgiji bado yupo kwenye mkataba wa miaka minne na Everton, lakini alisema: "Ndio nimeanza msimu wangu wa tano na Everton, huu utakuwa wa mwisho hapa.
"Nimeshaona kila kitu. Mwezi January au mwishoni mwa msimu nitaondoka hapa na kujiunga klabu nyingine."
Baada ya kauli hii Fellaini ambaye tayari ameshaichezea Klabu ya Merseyside mechi 130 na kufunga mabao 22.
Kauli hii ya Fellaini kwa hakika itaanzisha vita ya
mapema ya kugombea saini yake baina ya vilabu vikubwa nchini England. Kati ya
Manchester United, Manchester City au Liverpoool na Chelsea - unadhani wapi ni
mahali sahihi na kwanini ajiunge na timu hiyo.
Saturday, September 8, 2012
Friday, September 7, 2012
NAHODHA WA MANCHESTER UNITED AFANYA MAPENZI HADHARANI
Star anayechipukia wa klabu ya Manchester United ya
Uingereza amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuonekana akifanya tendo la ndoa
na mpenzi wake hadharani.
Luke McCullough, 18, ambaye msimu uliopita alikuwa nahodha wa Academy ya United, alionekana kwenye kamera za CCTV akiwa na mwanamke wakifanya mapenzi saa 11 asubuhi baada ya kukesha usiku mzima klabu.
Mchezaji huyo raia wa Ireland amekuwa akitajwa na mabosi wa Old Trafford kama Jonny Evans mpya.
Tukio hilo lilotokea eneo la Concert Square, kwenye bar maarufu katika wilaya ya Liverpool, litamuudhi sana kocha wake Sir Alex Ferguson.
Fergie huwa na mkali sana kwa vijana wake hasa wachanga, na wiki iliyopita aliwakataza wachezaji wadogo wote chini ya umri wa miaka 23 kuendesha magari ya kifahari yanayogawiwa na mdhamani mpya wa klabu Chevrolet.
Imetaarifiwa kwamba Luke akiwa na demu wake walionekana wakiwa wapo nusu uchi huku wakifanya mapenzi, na ndipo polisi wakaenda eneo la tukio na kuwakamata.
Wapenzi hao walishatuliwa na polisi na kuonywa kisha wakaachiwa, na walipoondoka na kufika mbele kidogo wakarudia tena mchezo wao, polisi wanasema.
Maofisa wa polisi walienda tena mpaka kwenye eneo lile na kuwakamata kisha kuwapeleka kituoni na sasa wanakabiliwa na kesi ya kufanya mapenzi hadharani.
Luke McCullough, 18, ambaye msimu uliopita alikuwa nahodha wa Academy ya United, alionekana kwenye kamera za CCTV akiwa na mwanamke wakifanya mapenzi saa 11 asubuhi baada ya kukesha usiku mzima klabu.
Mchezaji huyo raia wa Ireland amekuwa akitajwa na mabosi wa Old Trafford kama Jonny Evans mpya.
Tukio hilo lilotokea eneo la Concert Square, kwenye bar maarufu katika wilaya ya Liverpool, litamuudhi sana kocha wake Sir Alex Ferguson.
Fergie huwa na mkali sana kwa vijana wake hasa wachanga, na wiki iliyopita aliwakataza wachezaji wadogo wote chini ya umri wa miaka 23 kuendesha magari ya kifahari yanayogawiwa na mdhamani mpya wa klabu Chevrolet.
Imetaarifiwa kwamba Luke akiwa na demu wake walionekana wakiwa wapo nusu uchi huku wakifanya mapenzi, na ndipo polisi wakaenda eneo la tukio na kuwakamata.
Wapenzi hao walishatuliwa na polisi na kuonywa kisha wakaachiwa, na walipoondoka na kufika mbele kidogo wakarudia tena mchezo wao, polisi wanasema.
Maofisa wa polisi walienda tena mpaka kwenye eneo lile na kuwakamata kisha kuwapeleka kituoni na sasa wanakabiliwa na kesi ya kufanya mapenzi hadharani.
Thursday, August 23, 2012
ZOEZI LA SENSA YA WATU NA MAKAAZI TANZANIA LAPATA CHANGAMOTO
Na Idara ya Habari, Maelezo.
Taasisi mbalimbali za kidini hapa nchini
zilizopata usajili rasmi kwa Mrajis Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
zimekanusha kuhusika na tamko lililotolewa na Amiri Mkuu wa Jumuiya ya Uamsho,
Sheikh Mselem Ali la Waislamu wa Zanzibar wagomee kushiriki katika Sensa ya Watu
na Makaazi Kitaifa inayotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo.
Wakizungumza na Katibu wa Mufti wa Zanzibar,
Sheikh Fadhil Soraga Wawakilishi wa Taasisi hizo wamelaani tabia ya Uamsho ya
kujipa Mamlaka ya kuzisemea Taasisi hizo.
aka
Subscribe to:
Posts (Atom)




















