Pages

Monday, August 13, 2012

DR ULIMBOKA AREJEA KUTOKA MATIBABUNI

Angalia na sikiliza kwa makini Video ya Dr Ulimboka alivyorejea nchini akitokea Afrika Kusini kwenye matibabu.

Picture: Dr. Ulimboka Stephen
Mwenyekiti wa jumuia ya madaktari Tanzania Dr Steven Ulimboka aliyekuwa nchini Afrika ya kusini kwa ajili ya matibabu baada ya Kutekwa kupigwa na watu wasiojulikana amerejea nchini na kulakiwa na madaktari wenzake,wanaharakati wa haki za binadam na wananchi wa kawaida.

No comments:

Post a Comment